Friday, 28 October 2016

Jinsi ya kuyafanya meno ya njano yawe meupe bila kutumia dawa zenye kemikali




Ziko sababu nyingi zinazopelekea meno kubadilika rangi na kuwa ya njano mfano wa visababisho hivyo ni kama uvutaji wa sigara na kutosafisha meno wakati mrefu sana. Wapo watu wengi waliokata tamaa kwakuwa wametumia gharama nyingi katika kutafuta dawa za kuyafanya meno yao yawe meupe kama ilivyokuwa awali. Leo nimeona nitoe ujuzi wa kuyafanya meno ya njano kuwa meupe ndani ya wiki moja kwa kutumia Tunda la limao (lemon) na magadi soda (baking soda).. Nimetumia yapata wiki moja sasa nafurahia meno yangu kuwa meupe sasa nimeona nikushirikishe na wewe ili ufurahie kuwa na meno meupe mana meno ya njano yalishawahi kunifanya nisiwe comfort kuzungumza mbele za watu futa hatua hizi

HATUA 1:
  • chukua nusu kijiko cha magadi soda weka katika kisahani. Magadi soda husaidia kuondoa ukoko uliogandia katika meno
  • kamua limao katika kisahani chenye magadi soda
 








HATUA 2:
  • Chukua mswaki wako na uchote mchanganyiko huo kisha uwe unapiga mswaki  
 
ANGALIZO:
  • kwa wiki unatakiwa kutumia mara mbili au mara tatu ila haina madhara yoyote naamini baada ya wiki na wewe utafurahia kama ninavyofurahia mimi kuwa na meno meupe 
KAMA UMEIPENDA MADA HII AU UNA MASWALI USISITE KUCOMMENT PUNDE NTAKUJIBU..

35 comments:

  1. dah kwel hainambuli n njia mzur saaaaana

    ReplyDelete
    Replies
    1. Nimefanikiwa ndo mana nimeona nishare na wenzangu pia

      Delete
    2. Yes inamatokeo mazuri

      Delete
    3. Yes inamatokeo mazuri

      Delete
  2. Dah kaka nimetumia naanza kuona mabadiliko thanks kaka

    ReplyDelete
    Replies
    1. Vizuri kwa matumizi mana meno hureta tabasamu nzuri kwenye umati wa watu

      Delete
  3. Naweza kupata wap magadi soda nipo dar es salaam

    ReplyDelete
  4. Hongera sana kwa huduma yenye matokeo chanya. Nimeipenda

    ReplyDelete
  5. Duh matokeo bado cjayapata aisee nawik saiv hamna kitu ushaur mwingne

    ReplyDelete
  6. magadi soda ni haya yanayotumika
    kwenye mandazi au mawazo yngu jamani.

    ReplyDelete
  7. Thanks bro hiyo baking poda zipo za aina mbili au moja tu

    ReplyDelete
  8. Hayo unatengeneza kila siku au siku mija tuu

    ReplyDelete
  9. Ni Aina Gani ya limao? Lililoiva? Au

    ReplyDelete
  10. Mimi nina shida ya meno incisors hazishikani siwezi kubite chakula vizuri

    ReplyDelete
  11. Ngoja nianze manaa naona Kama unaweza kusaidia

    ReplyDelete
  12. Magadi ya kupikia mlenda Yanaweza kutumika?

    ReplyDelete
  13. Ubarikiwe kipenz

    ReplyDelete
  14. Limao lakuiva au vp?

    ReplyDelete
  15. Samahan magad soda ni haya ya kupikia mandaz au

    ReplyDelete
  16. Mjibu Sasa huko watubwanauliza limao lakuiva au vp

    ReplyDelete
  17. Unatengeneza kwa hizo siku tatu au mbili

    ReplyDelete
  18. Hivi limao ndio ndimu yenyewe au tofauti???

    ReplyDelete
  19. Ni lazima kuitumia kila wiki au ukishaitumia mara tatu kwa wiki 1 unaendelea kupiga mswaki kawaida

    ReplyDelete
  20. Iv unatumia na dawa ya mxwaki ama

    ReplyDelete
  21. Haina madhara hiyo kitu kwa kinywa

    ReplyDelete
  22. Hii inasaidia hata kwa meno ya watu wa kanda yakaskaziniii namaanisha arusha vs mosh

    ReplyDelete
  23. Asante yangu yamekua yanangaa' had nimependwa na warembo

    ReplyDelete
  24. Je wasukutulia na dawa ya mswak pua

    ReplyDelete
  25. Je ukitumia maganda ya ndizi ina baki na ndizi unatoa ile ndizi unabakiza ganda la ndizi lenyewe

    ReplyDelete

ad 1

Kuhusu

authorNapenda kutumia muda wangu mwingi kuwatatulia watu matatizo walionayo katika teknolojia na mambo mengine mengi.
Soma zaidi →



Matangazo

Tangaza nasi 0656 463 637