STEP 1:
Anzisha browser yako kisha login katika account yako ya facebook sehemu ya settings ingia katika public post>> who can follow me>> public yani weka public katika who can follow me
STEP 2:
fungua tab nyingine katika hiyo browser yako kisha fungua ukurasa wa autolike-us.com
kisha utaona sehemu kuna kitufe kimeandikwa click here to allow the permission to App
Baada ya hapo utaona ukurasa una vitufe viwili bonyeza kitufe chekundu ili kikupeleke kuruhusu ukurasa wako ukubali huduma ya HTC baada ya hapo utapata access token ya page yako
baada ya hapo ukishakubali kuaccess app ya htc ndipo utaenda kubonyeza kile kitufe cha kijani ili kupata access token ukibonyeza kitufe cha kijani utaona page ina access token yako utaicopy ni maandishi marefu sana utayokopi
afu utaanza mwanzo wa hiyo website ambako chini kuna sehemu ya kuweka access token na kitufe cha kulogin ukisha iweka na ukalogin utaona post zako zote
Baada ya hapo utaweka access token kisha utalogin ili kuweza kuingia katika page yako ya facebook kupitia ukurasa wa autolike-us ambao utakuwa na uwezo kuaccess post zako tu
hizi ndo post zangu katika ukurasa wangu wa facebook sasa unaweza kuona hii post yangu moja ina like 18
baada ya hapo inkiingia katika ukurasa wangu wa autolike-us katika posti hii nabonyeza kitufe kilichoandikwa submit kipo mbele ya post hiyo
Baada ya hapo utaona likes zimeongezeka ndani ya sekunde tano ukitaka kufikisha likes 500 submit mara nyingi mpaka unaweza kufikia likes 1000....KAMA UMEIPENDA MADA HII USISITE KUCOMMENT KATIKA BLOG YANGU
Kuna njia ya kuongeza like bila kutumia computer
ReplyDeleteYes njoo inbox nitakueleza kwa sh 500 tu ya vocha
DeleteMhh Sina uhakima
DeleteDa hakuna njia nyingine
ReplyDeleteHakuna njia nyepesi Zaid ya hii
ReplyDeleteHata sio poa
ReplyDeleteBomba xana
ReplyDeleteSio poa maan baada ya mda zinapungua izo likes
ReplyDeleteMzenguo
DeleteM sijaelew tu jmn natkiw nidonload nn?
ReplyDeleteNjoon kwangu Mimi najuwa yoye
ReplyDeleteKuna uwezo wa kufunguwa GROUP FB ambalo lipo Disabled?
ReplyDeleteNitumie namba yako naitaji kuifanya account yangu kuwa na like nyingi
ReplyDeleteElikana Timotheo
ReplyDeleteElikana Timotheo
ReplyDeleteBopesio og
ReplyDelete1000
ReplyDelete